2 Mambo ya Nyakati 1:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Sulemani akamwambia Mungu, Umemfanyia baba yangu Daudi fadhili kuu, nawe umenimilikisha mimi badala yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Solomoni akamwambia Mungu, “Ulimwonesha baba yangu Daudi fadhili nyingi, na umenijalia kuwa mfalme mahali pake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Solomoni akamwambia Mungu, “Ulimwonesha baba yangu Daudi fadhili nyingi, na umenijalia kuwa mfalme mahali pake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Solomoni akamwambia Mungu, “Ulimwonesha baba yangu Daudi fadhili nyingi, na umenijalia kuwa mfalme mahali pake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Sulemani akamjibu Mungu, “Umemwonesha baba yangu Daudi fadhili nyingi, nawe umeniweka niwe mfalme mahali pake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Sulemani akamjibu Mungu, “Umemwonyesha baba yangu Daudi fadhili nyingi, nawe umeniweka niwe mfalme mahali pake. Tazama sura |