1 Yohana 5:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC2 Katika hili tunajua kwamba tunawapenda watoto wa Mungu, tumpendapo Mungu, na kuzishika amri zake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Hivi ndivyo tunavyojua kwamba tunawapenda watoto wa Mungu: Kwa kumpenda Mungu na kuzitii amri zake; Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Hivi ndivyo tunavyojua kwamba tunawapenda watoto wa Mungu: Kwa kumpenda Mungu na kuzitii amri zake; Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Hivi ndivyo tunavyojua kwamba tunawapenda watoto wa Mungu: Kwa kumpenda Mungu na kuzitii amri zake; Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Hivi ndivyo tunavyojua kwamba tunawapenda watoto wa Mungu, kwa kumpenda Mungu na kuzitii amri zake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Hivi ndivyo tunavyojua kwamba tunawapenda watoto wa Mungu, kwa kumpenda Mwenyezi Mungu na kuzitii amri zake. Tazama sura |