1 Yohana 5:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Kila lisilo la haki ni dhambi, na dhambi iko isiyo ya mauti. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Kila tendo lisilo adilifu ni dhambi, lakini kuna dhambi isiyompeleka mtu kwenye kifo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Kila tendo lisilo adilifu ni dhambi, lakini kuna dhambi isiyompeleka mtu kwenye kifo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Kila tendo lisilo adilifu ni dhambi, lakini kuna dhambi isiyompeleka mtu kwenye kifo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Jambo lolote lisilo la haki ni dhambi, lakini iko dhambi isiyo ya mauti. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Jambo lolote lisilo la haki ni dhambi, lakini iko dhambi isiyo ya mauti. Tazama sura |