Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wathesalonike 4:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Kwa kuwa mnajua ni maagizo gani tuliyowapa kwa Bwana Yesu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Maana mnayajua yale maagizo tuliyowapeni kwa mamlaka ya Bwana Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Maana mnayajua yale maagizo tuliyowapeni kwa mamlaka ya Bwana Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Maana mnayajua yale maagizo tuliyowapeni kwa mamlaka ya Bwana Yesu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Kwa kuwa mnajua maagizo tuliyowapa kwa mamlaka ya Bwana Isa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Kwa kuwa mnajua ni maagizo gani tuliyowapa kwa mamlaka ya Bwana Isa.

Tazama sura Nakili




1 Wathesalonike 4:2
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mwanadamu, nimekuweka kuwa mlinzi wa nyumba ya Israeli; basi, sikia neno hili litokalo katika kinywa changu, ukawape maonyo haya yatokayo kwangu.


na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.


Kwa wale wasio na sheria nilikuwa kama sina sheria, (si kwamba sina sheria mbele za Mungu, bali mwenye sheria mbele za Kristo), ili niwapate hao wasio na sheria.


Iliyobaki, ndugu, tunawasihi na kuwaonya kwamba mwenende katika Bwana Yesu; kama mlivyopokea kwetu jinsi iwapasavyo kuenenda na kumpendeza Mungu, kama nanyi mnavyoenenda, vivyo hivyo mpate kuzidi sana.


Maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu, kutakaswa kwenu, mwepukane na uasherati;


Kwa kuwa hata wakati ule tulipokuwapo kwenu tuliwaagiza neno hili, kwamba ikiwa mtu hataki kufanya kazi, basi, asile chakula.


Ndugu, tunawaagiza katika jina la Bwana Yesu Kristo, jitengeni nafsi zenu kutoka kwa kila ndugu aendaye bila utaratibu, wala si kwa kufuata mapokeo mliyoyapokea kwetu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo