1 Wathesalonike 3:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Kwa sababu hiyo, ndugu, katika dhiki na mateso yetu yote, katika habari zenu, tumefarijiwa kwa imani yenu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Basi, habari za imani yenu zimetutia moyo katika taabu na mateso yetu yote, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Basi, habari za imani yenu zimetutia moyo katika taabu na mateso yetu yote, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Basi, habari za imani yenu zimetutia moyo katika taabu na mateso yetu yote, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Kwa hiyo, ndugu zetu, katika dhiki na mateso yetu yote tumefarijika kwa sababu ya imani yenu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Kwa hiyo, ndugu zetu, katika dhiki na mateso yetu yote tumefarijika kwa sababu ya imani yenu. Tazama sura |