1 Wathesalonike 2:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 bali tulikuwa wapole katikati yenu, kama vile mlezi awatunzavyo watoto wake mwenyewe. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 ingawa sisi tukiwa mitume wa Kristo, tungeweza kudai mambo fulani kwenu. Lakini sisi tulikuwa wapole kati yenu kama alivyo mama kwa watoto wake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 ingawa sisi tukiwa mitume wa Kristo, tungeweza kudai mambo fulani kwenu. Lakini sisi tulikuwa wapole kati yenu kama alivyo mama kwa watoto wake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 ingawa sisi tukiwa mitume wa Kristo, tungeweza kudai mambo fulani kwenu. Lakini sisi tulikuwa wapole kati yenu kama alivyo mama kwa watoto wake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Lakini tulikuwa wapole kati yenu, kama vile mama anawatunza watoto wake wadogo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 lakini tulikuwa wapole katikati yenu, kama mama anayewatunza watoto wake wadogo. Tazama sura |