Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wathesalonike 2:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Maana ninyi ndinyi utukufu wetu, na furaha yetu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Naam, nyinyi ni utukufu wetu na furaha yetu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Naam, nyinyi ni utukufu wetu na furaha yetu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Naam, nyinyi ni utukufu wetu na furaha yetu!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Naam, ninyi ndio fahari yetu na furaha yetu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Naam, ninyi ndio fahari yetu na furaha yetu.

Tazama sura Nakili




1 Wathesalonike 2:20
4 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa wana ndio taji la wazee, Na utukufu wa watoto ni baba zao.


Kwa maana kweli haimpasi mwanamume kufunikwa kichwa, kwa sababu yeye ni mfano na utukufu wa Mungu. Lakini mwanamke ni utukufu wa mwanamume.


vile vile kama mlivyotukiri kwa sehemu, ya kuwa sisi tu sababu ya kujisifu kwenu, kama ninyi mlivyo kwetu sisi, katika siku ile ya Bwana wetu Yesu.


Basi kwa hiyo, tulipokuwa hatuwezi kuvumilia zaidi, tuliona vema kuachwa Athene peke yetu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo