Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 9:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

22 Kwa wanyonge nilikuwa mnyonge, ili niwapate wanyonge. Nimekuwa hali zote kwa watu wote, ili kwa njia zote nipate kuwaokoa watu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Kwao walio dhaifu nimejifanya dhaifu ili niwapate hao walio dhaifu. Nimejifanya kila kitu kwa wote ili nipate kuwaokoa baadhi yao kwa kila njia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Kwao walio dhaifu nimejifanya dhaifu ili niwapate hao walio dhaifu. Nimejifanya kila kitu kwa wote ili nipate kuwaokoa baadhi yao kwa kila njia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Kwao walio dhaifu nimejifanya dhaifu ili niwapate hao walio dhaifu. Nimejifanya kila kitu kwa wote ili nipate kuwaokoa baadhi yao kwa kila njia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Kwa walio dhaifu nilikuwa dhaifu, ili niweze kuwapata walio dhaifu. Nimekuwa mtu wa hali zote kwa watu wote ili kwa njia yoyote niweze kuwaokoa baadhi yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Kwa walio dhaifu nilikuwa dhaifu, ili niweze kuwapata walio dhaifu. Nimekuwa mtu wa hali zote kwa watu wote ili kwa njia yoyote niweze kuwaokoa baadhi yao.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 9:22
12 Marejeleo ya Msalaba  

nipate kuwatia wivu walio damu moja na mimi na kuwaokoa baadhi yao.


Yeye aliye dhaifu wa imani, mkaribisheni, lakini msimhukumu mawazo yake.


Mtu mmoja anayo imani, anakula vyote; lakini yeye aliye dhaifu hula mboga.


Basi imetupasa sisi tulio na nguvu kuuchukua udhaifu wao wasio na nguvu, wala haitupasi kujipendeza wenyewe.


Kila mtu miongoni mwetu na ampendeze jirani yake, apate wema, akajengwe.


vile vile kama mimi niwapendezavyo watu wote katika mambo yote, nisitake faida yangu mwenyewe, ila faida yao walio wengi, wapate kuokolewa.


Kwa maana wajuaje, wewe mwanamke, kama utamwokoa mumeo? Au wajuaje, wewe mwanamume, kama utamwokoa mkeo?


Kwa hiyo, chakula kikimkwaza ndugu yangu, hakika sitakula nyama hata milele, nisije nikamkwaza ndugu yangu.


Maana, ingawa nimekuwa huru kwa watu wote, nilijifanya mtumwa wa wote, ili nipate watu wengi zaidi.


Nami nafanya mambo yote kwa ajili ya Injili ili kuishiriki pamoja na wengine.


Ni nani aliye dhaifu, nisiwe dhaifu nami? Ni nani aliyekwazwa nami nisichukiwe?


Ndugu zangu, mtu akishikwa katika kosa lolote, ninyi mlio wa Roho mrejesheni upya mtu kama huyo kwa roho ya upole, ukijiangalia nafsi yako usije ukajaribiwa wewe mwenyewe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo