Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 9:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Nilikuwa kama Myahudi kwa Wayahudi, ili niwapate Wayahudi; kwa wale walio chini ya sheria, nilikuwa kama chini ya sheria, (ingawa mimi mwenyewe siko chini ya sheria), ili niwapate walio chini ya sheria.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Kwa Wayahudi nimeishi kama Myahudi ili niwapate Wayahudi; yaani, ingawa mimi siko chini ya sheria, nimejiweka chini ya sheria kwao, ili niwapate hao walio chini ya sheria.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Kwa Wayahudi nimeishi kama Myahudi ili niwapate Wayahudi; yaani, ingawa mimi siko chini ya sheria, nimejiweka chini ya sheria kwao, ili niwapate hao walio chini ya sheria.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Kwa Wayahudi nimeishi kama Myahudi ili niwapate Wayahudi; yaani, ingawa mimi siko chini ya sheria, nimejiweka chini ya sheria kwao, ili niwapate hao walio chini ya sheria.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Kwa Wayahudi, nilikuwa kama Myahudi, ili niwapate Wayahudi. Kwa watu wale walio chini ya Torati, nilikuwa kama aliye chini ya Torati (ingawa mimi siko chini ya Torati), ili niweze kuwapata wale walio chini ya Torati.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Kwa Wayahudi, nilikuwa kama Myahudi, ili niwapate Wayahudi. Kwa watu wale walio chini ya Torati, nilikuwa kama aliye chini ya Torati (ingawa mimi siko chini ya Torati), ili niweze kuwapata wale walio chini ya Torati.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 9:20
11 Marejeleo ya Msalaba  

Paulo akamtaka huyo afuatane naye, akamtwaa akamtahiri kwa ajili ya Wayahudi waliokuwako pande zile; kwa maana wote walijua ya kuwa babaye ni Mgiriki.


Baada ya hayo Paulo akazidi kukaa huko siku nyingi, kisha akaagana na ndugu akaabiri kwenda Shamu; na Priskila na Akila wakaenda pamoja naye, alipokwisha kunyoa kichwa chake huko Kenkrea; maana alikuwa ana nadhiri.


nipate kuwatia wivu walio damu moja na mimi na kuwaokoa baadhi yao.


Basi twajua ya kuwa mambo yote inenayo torati huyanena kwa hao walio chini ya torati, ili kila kinywa kifumbwe, na ulimwengu wote uwe chini ya hukumu ya Mungu;


Maana mimi kwa njia ya sheria niliifia sheria ili nimwishie Mungu.


Niambieni, ninyi mnaotaka kuwa chini ya sheria, je! Hamwisikii sheria?


kusudi awakomboe hao waliokuwa chini ya sheria, ili sisi tupate kupokea hali ya kuwa wana.


Lakini mkiongozwa na Roho, hampo chini ya sheria.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo