1 Wakorintho 9:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 Na Bwana vivyo hivyo ameamuru kwamba wale waihubirio Injili wapate riziki kwa hiyo Injili. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Bwana aliagiza vivyo hivyo; wahubiri wa Habari Njema wapate riziki zao kutokana nayo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Bwana aliagiza vivyo hivyo; wahubiri wa Habari Njema wapate riziki zao kutokana nayo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Bwana aliagiza vivyo hivyo; wahubiri wa Habari Njema wapate riziki zao kutokana nayo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Vivyo hivyo, Bwana Isa ameamuru kwamba wale wanaohubiri Injili wapate riziki yao kutokana na Injili. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Vivyo hivyo, Bwana Isa ameamuru kwamba wale wanaohubiri Injili wapate riziki yao kutokana na Injili. Tazama sura |