Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 7:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Lakini nasema hayo, kwa kutoa idhini yangu, si kwa amri.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Ninayowaambieni sasa ni mawaidha, si amri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Ninayowaambieni sasa ni mawaidha, si amri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Ninayowaambieni sasa ni mawaidha, si amri.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Nasema haya kama ushauri na si amri.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Nasema haya kama ushauri na si amri.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 7:6
6 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini wale waliokwisha kuoana nawaagiza; wala hapo si mimi, ila Bwana; mke asiachane na mumewe;


Lakini watu wengine nawaambia mimi, wala si Bwana, ya kwamba iwapo ndugu mmoja ana mke asiyeamini, na mke huyo anakubali kukaa naye asimwache.


Kuhusu wanawali sina amri ya Bwana, lakini natoa shauri langu, mimi niliyejaliwa kwa rehema za Bwana kuwa mwaminifu.


Lakini heri yeye zaidi akikaa kama alivyo; ndivyo nionavyo mimi, nami nadhani ya kuwa mimi nami nina Roho wa Mungu.


Ninenalo silineni agizo la Bwana, bali kama kwa upumbavu, katika ujasiri huu wa kujisifu.


Sineni ili kuwaamuru, bali kwa bidii ya watu wengine nijaribu unyofu wa upendo wenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo