1 Wakorintho 7:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC33 bali yeye aliyeoa hujishughulisha na mambo ya dunia hii, jinsi atakavyompendeza mkewe. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema33 Mwanamume aliyeoa hujishughulisha na mambo ya dunia jinsi atakavyompendeza mkewe, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND33 Mwanamume aliyeoa hujishughulisha na mambo ya dunia jinsi atakavyompendeza mkewe, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza33 Mwanamume aliyeoa hujishughulisha na mambo ya dunia jinsi atakavyompendeza mkewe, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu33 Lakini mwanaume aliyeoa anajishughulisha na mambo ya dunia, jinsi ya kumfurahisha mkewe, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu33 Lakini mwanaume aliyeoa anajishughulisha na mambo ya dunia, jinsi ya kumfurahisha mkewe, Tazama sura |