Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 7:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

24 Ndugu zangu, kila mtu na akae mbele za Mungu katika hali iyo hiyo aliyoitwa nayo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Ndugu zangu, kila mmoja wenu basi, na abaki na Mungu kama alivyokuwa wakati alipoitwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Ndugu zangu, kila mmoja wenu basi, na abaki na Mungu kama alivyokuwa wakati alipoitwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Ndugu zangu, kila mmoja wenu basi, na abaki na Mungu kama alivyokuwa wakati alipoitwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Ndugu zangu, kama kila mtu alivyoitwa, akae katika wito wake alioitiwa na Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Ndugu zangu, kama kila mtu alivyoitwa, akae katika wito wake alioitiwa na Mwenyezi Mungu.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 7:24
8 Marejeleo ya Msalaba  

Abramu alipokuwa mtu wa miaka tisini na tisa, BWANA akamtokea Abramu, akamwambia, Mimi ni Mungu Mwenyezi, uende mbele yangu, ukawe mkamilifu.


Mara huenda, akachukua pamoja naye pepo wengine saba walio waovu kuliko yeye mwenyewe, nao huingia na kukaa humo; na mtu yule hali yake ya mwisho huwa mbaya kuliko ya kwanza. Ndivyo itakavyokuwa kwa kizazi hiki kilicho kibaya.


Basi, mlapo, au mnywapo, au mtendapo neno lolote, fanyeni yote kwa utukufu wa Mungu.


Lakini kama Bwana alivyomgawia kila mtu, kama Mungu alivyomwita kila mtu, na aende vivyo hivyo. Ndivyo ninavyoagiza katika makanisa yote.


Kila mtu na akae katika hali ile ile ambayo alikuwa nayo alipoitwa.


Lakini watu wakamwambia Sauli, Je! Atakufa Yonathani, ambaye ndiye aliyeufanya huo wokovu mkuu katika Israeli? Hasha! Kama aishivyo BWANA, hautaanguka chini hata unywele mmoja wa kichwa chake; kwa maana ametenda kazi pamoja na Mungu leo. Hivyo hao watu wakamponya Yonathani, asife.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo