Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 7:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Kila mtu na akae katika hali ile ile ambayo alikuwa nayo alipoitwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Basi, kila mmoja na abaki kama alivyokuwa wakati alipoitwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Basi, kila mmoja na abaki kama alivyokuwa wakati alipoitwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Basi, kila mmoja na abaki kama alivyokuwa wakati alipoitwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Basi kila mtu na abaki katika hali aliyoitwa nayo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Basi kila mmoja wenu na abaki katika hali aliyoitwa nayo.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 7:20
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kama ndege aendaye huku na huko mbali na kitundu chake; Ndivyo alivyo mtu aendaye huku na huko mbali na mahali pake.


Lakini kama Bwana alivyomgawia kila mtu, kama Mungu alivyomwita kila mtu, na aende vivyo hivyo. Ndivyo ninavyoagiza katika makanisa yote.


Je! Umefungwa kwa mke? Usitake kufunguliwa. Umefunguliwa? Usitafute mke.


Tena mjitahidi kutulia, na kutenda shughuli zenu, na kufanya kazi kwa mikono yenu wenyewe, kama tulivyowaagiza;


Basi tunawaagiza hao, na kuwaonya katika Bwana Yesu Kristo, wafanye kazi kwa utulivu na kula chakula chao wenyewe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo