1 Wakorintho 7:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Lakini kama Bwana alivyomgawia kila mtu, kama Mungu alivyomwita kila mtu, na aende vivyo hivyo. Ndivyo ninavyoagiza katika makanisa yote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Kwa vyovyote kila mmoja na aishi kufuatana na vipaji alivyogawiwa na Bwana, na kama alivyoitwa na Mungu. Hili ndilo agizo langu kwa makanisa yote. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Kwa vyovyote kila mmoja na aishi kufuatana na vipaji alivyogawiwa na Bwana, na kama alivyoitwa na Mungu. Hili ndilo agizo langu kwa makanisa yote. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Kwa vyovyote kila mmoja na aishi kufuatana na vipaji alivyogawiwa na Bwana, na kama alivyoitwa na Mungu. Hili ndilo agizo langu kwa makanisa yote. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Lakini kila mtu na aishi maisha aliyopangiwa na Bwana Isa, yale Mungu aliyomwitia. Hii ni sheria ninayoiweka kwa makundi yote ya waumini. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Lakini kila mtu na aishi maisha aliyopangiwa na Bwana Isa, yale Mwenyezi Mungu aliyomwitia. Hii ni sheria ninayoiweka kwa makundi yote ya waumini. Tazama sura |