Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 7:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Na mwanamke, ambaye ana mume asiyeamini, na mume huyo anakubali kukaa naye, asimwache mumewe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Na, kama mwanamke Mkristo anaye mume asiyeamini, na huyo mwanamume akakubali kuendelea kuishi naye, basi, asimpe talaka mumewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Na, kama mwanamke Mkristo anaye mume asiyeamini, na huyo mwanamume akakubali kuendelea kuishi naye, basi, asimpe talaka mumewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Na, kama mwanamke Mkristo anaye mume asiyeamini, na huyo mwanamume akakubali kuendelea kuishi naye, basi, asimpe talaka mumewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Naye mwanamke aaminiye kama ameolewa na mwanaume asiyeamini na huyo mume anakubali kuishi naye, basi huyo mwanamke asimwache.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Naye mwanamke aaminiye kama ameolewa na mwanaume asiyeamini na huyo mume anakubali kuishi naye, basi huyo mwanamke asimwache.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 7:13
3 Marejeleo ya Msalaba  

na mke, akimwacha mumewe na kuolewa na mtu mwingine, azini.


Lakini watu wengine nawaambia mimi, wala si Bwana, ya kwamba iwapo ndugu mmoja ana mke asiyeamini, na mke huyo anakubali kukaa naye asimwache.


Kwa maana yule mume asiyeamini hutakaswa katika mkewe; na yule mke asiyeamini hutakaswa katika mumewe; kama isingekuwa hivyo, watoto wenu wangekuwa si safi; bali sasa ni watakatifu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo