Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 6:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

17 Lakini yeye aliyeungwa na Bwana ni roho moja naye.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Lakini aliyejiunga na Bwana huwa roho moja naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Lakini aliyejiunga na Bwana huwa roho moja naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Lakini aliyejiunga na Bwana huwa roho moja naye.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Lakini mtu aliyeungwa na Bwana Isa anakuwa roho moja naye.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Lakini mtu aliyeungwa na Bwana Isa anakuwa roho moja naye.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 6:17
9 Marejeleo ya Msalaba  

Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili; na kilichozaliwa kwa Roho ni roho.


Lakini ikiwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu, ninyi hamwufuati mwili; bali mwaifuata roho. Lakini mtu awaye yote asipokuwa na Roho wa Kristo, huyo si wake.


Kwa maana katika Roho mmoja sisi sote tulibatizwa kuwa mwili mmoja, kwamba tu Wayahudi, au kwamba tu Wagiriki; ikiwa tu watumwa au ikiwa tu huru; nasi sote tulinyweshwa Roho mmoja.


Je! Hamjui ya kuwa miili yenu ni viungo vya Kristo? Basi nivitwae viungo vya Kristo na kuvifanya viungo vya kahaba? La hasha!


Nimesulubiwa pamoja na Kristo; lakini ni hai; wala si mimi tena, bali Kristo yu hai ndani yangu; na uhai nilio nao sasa katika mwili, ninao katika imani ya Mwana wa Mungu, ambaye alinipenda, akajitoa nafsi yake kwa ajili yangu.


Kwa kuwa tu viungo vya mwili wake.


Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo