1 Wakorintho 6:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 wala wezi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 wezi, wachoyo, walevi, wasengenyaji, wanyanganyi, hao wote hawatashiriki ufalme wa Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 wezi, wachoyo, walevi, wasengenyaji, wanyanganyi, hao wote hawatashiriki ufalme wa Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 wezi, wachoyo, walevi, wasengenyaji, wanyang'anyi, hao wote hawatashiriki ufalme wa Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 wala wezi, wala wenye tamaa mbaya, wala walevi, wala wanaodhihaki, wala wanyang’anyi hawataurithi ufalme wa Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 wala wezi, wala wenye tamaa mbaya, wala walevi, wala wanaodhihaki, wala wanyang’anyi hawataurithi Ufalme wa Mwenyezi Mungu. Tazama sura |