Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 5:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Maana yanihusu nini kuwahukumu wale walio nje? Ninyi hamwahukumu hao walio ndani?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Je, ni shauri langu kuwahukumu watu walio nje? Hao Mungu atawahukumu. Je, nyinyi hampaswi kuwahukumu wale walio katika jamii yenu nyinyi wenyewe?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Je, ni shauri langu kuwahukumu watu walio nje? Hao Mungu atawahukumu. Je, nyinyi hampaswi kuwahukumu wale walio katika jamii yenu nyinyi wenyewe?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Je, ni shauri langu kuwahukumu watu walio nje? Hao Mungu atawahukumu. Je, nyinyi hampaswi kuwahukumu wale walio katika jamii yenu nyinyi wenyewe?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Yanihusu nini kuwahukumu wale watu walio nje ya kundi la waumini? Je, si mnapaswa kuwahukumu hao walio ndani?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Yanihusu nini kuwahukumu wale watu walio nje ya kundi la waumini? Je, si mnapaswa kuwahukumu hao walio ndani?

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 5:12
8 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaambia, Ninyi mmejaliwa kuijua siri ya ufalme wa Mungu, bali kwa wale walio nje, yote hufanywa kwa mifano,


Akamwambia, Mtu wewe, ni nani aliyeniweka mimi kuwa mwamuzi au mgawanyi juu yenu?


Yesu akajibu, Ufalme wangu sio wa ulimwengu huu. Kama ufalme wangu ungekuwa wa ulimwengu huu, watumishi wangu wangenipigania, nisije nikatiwa mikononi mwa Wayahudi. Lakini ufalme wangu sio wa hapa.


Nendeni kwa hekima mbele yao walio nje, mkiukomboa wakati.


ili mwende kwa adabu mbele yao walio nje, wala msiwe na haja ya kitu chochote.


Tena imempasa kushuhudiwa mema na watu walio nje; ili asianguke katika lawama na mtego wa Ibilisi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo