1 Wakorintho 4:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Maana ufalme wa Mungu hauwi katika neno, bali katika nguvu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Maana ufalme wa Mungu si shauri la maneno matupu, bali ni nguvu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Maana ufalme wa Mungu si shauri la maneno matupu, bali ni nguvu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Maana ufalme wa Mungu si shauri la maneno matupu, bali ni nguvu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Kwa kuwa ufalme wa Mungu si maneno matupu tu bali ni nguvu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Kwa kuwa Ufalme wa Mwenyezi Mungu si maneno matupu tu bali ni nguvu. Tazama sura |