Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 3:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Na tena, Bwana anayafahamu mawazo ya wenye hekima ya kwamba ni ya ubatili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Na tena: “Bwana ajua kwamba mawazo ya wenye hekima hayafai.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Na tena: “Bwana ajua kwamba mawazo ya wenye hekima hayafai.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Na tena: “Bwana ajua kwamba mawazo ya wenye hekima hayafai.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 tena, “Mwenyezi Mungu anajua kwamba mawazo ya wenye hekima ni ubatili.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 tena, “Bwana Mwenyezi anajua kwamba mawazo ya wenye hekima ni ubatili.”

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 3:20
6 Marejeleo ya Msalaba  

Mbona mataifa yanafanya ghasia, Na watu kuwaza mambo ya bure?


BWANA anajua mawazo ya mwanadamu, Ya kuwa ni ubatili.


Hapana hekima, wala ufahamu, Wala shauri, juu ya BWANA.


kwa sababu, walipomjua Mungu hawakumtukuza kama ndiye Mungu wala kumshukuru; bali walipotea katika uzushi wao, na mioyo yao yenye ujinga ikatiwa giza.


Angalieni mtu asiwafanye mateka kwa elimu yake ya bure na madanganyo matupu, kwa jinsi ya mapokeo ya wanadamu, kwa jinsi ya mafundisho ya awali ya ulimwengu, wala si kwa jinsi ya Kristo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo