1 Wakorintho 3:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Na tena, Bwana anayafahamu mawazo ya wenye hekima ya kwamba ni ya ubatili. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Na tena: “Bwana ajua kwamba mawazo ya wenye hekima hayafai.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Na tena: “Bwana ajua kwamba mawazo ya wenye hekima hayafai.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Na tena: “Bwana ajua kwamba mawazo ya wenye hekima hayafai.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 tena, “Mwenyezi Mungu anajua kwamba mawazo ya wenye hekima ni ubatili.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 tena, “Bwana Mwenyezi anajua kwamba mawazo ya wenye hekima ni ubatili.” Tazama sura |