Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 16:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Lakini nitakaa Efeso hadi siku ya Pentekoste;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Lakini nitabaki hapa Efeso mpaka siku ya Pentekoste.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Lakini nitabaki hapa Efeso mpaka siku ya Pentekoste.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Lakini nitabaki hapa Efeso mpaka siku ya Pentekoste.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Lakini nitakaa Efeso hadi wakati wa Pentekoste,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Lakini nitakaa Efeso mpaka wakati wa Pentekoste,

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 16:8
8 Marejeleo ya Msalaba  

tena, sikukuu ya mavuno, hayo malimbuko ya kazi zako za kupanda mashambani; tena, sikukuu ya kukusanya, mwisho wa mwaka, hapo utakapokusanya hayo uliyoyataabikia shambani.


Wakafika Efeso, akawaacha huko. Yeye mwenyewe akaingia katika sinagogi, akahojiana na Wayahudi.


bali aliagana nao, akisema, Nitarejea kwenu tena, Mungu akinijalia. Akatweka, akatoka Efeso,


Ikawa, Apolo alipokuwa Korintho, Paulo, akiisha kupita kati ya nchi za juu, akafika Efeso; akakutana na wanafunzi kadhaa huko;


Wakati ilipotimia siku ya Pentekoste walikuwako wote mahali pamoja.


Kwa sababu Paulo alikusudia kusafiri pasipo kupitia Efeso merikebuni, asije akakawia katika Asia; kwa maana alikuwa na haraka, akitaka kuwahi Yerusalemu siku ya Pentekoste, kama ikiwezekana.


Ikiwa, kwa jinsi ya kibinadamu, nilipigana na hayawani wakali kule Efeso, nina faida gani? Wasipofufuliwa wafu, na tule, na tunywe, maana kesho tutakufa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo