Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wakorintho 16:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 Mambo yenu yote na yatendeke katika upendo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Kila mfanyacho kifanyike kwa upendo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Kila mfanyacho kifanyike kwa upendo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Kila mfanyacho kifanyike kwa upendo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Fanyeni kila kitu katika upendo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Fanyeni kila kitu katika upendo.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 16:14
22 Marejeleo ya Msalaba  

Haya nawaamuru ninyi, mpate kupendana.


Na ndugu yako akichukizwa kwa sababu ya chakula, umeacha kwenda katika upendo. Kwa chakula chako usimharibu mtu yule ambaye Kristo alikufa kwa ajili yake.


Jitahidini sana kupata karama zilizo kuu. Na nitawaonesheni njia iliyo bora zaidi.


Ufuatilieni upendo, na kutaka sana karama za rohoni, lakini zaidi kwamba mpate kutoa unabii.


Tena ndugu, nawasihi; (mnawajua watu wa nyumbani mwa Stefana kwamba ni malimbuko ya Akaya, nao wamejitia katika kazi ya kuwahudumia watakatifu);


Na kuhusu vyakula vilivyotolewa sadaka kwa sanamu; Twajua ya kuwa sisi sote tuna ujuzi. Ujuzi huleta majivuno, bali upendo hujenga.


Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu,


Bwana na awaongeze na kuwazidisha katika upendo, ninyi kwa ninyi, na kwa watu wote, kama vile sisi nasi tulivyo kwenu;


Lakini Timotheo alipotujia hivi sasa kutoka kwenu, alituletea Habari Njema za imani yenu na upendo wenu, na ya kwamba mnatukumbuka vema siku zote; mkitamani kutuona kama vile nasi tunavyotamani kuwaona ninyi.


Ndugu, imetupasa kumshukuru Mungu sikuzote kwa ajili yenu, kama ilivyo wajibu, kwa kuwa imani yenu inazidi sana, na upendo wa kila mtu kwenu kwa mwenzake umekuwa mwingi.


Lakini lengo la agizo hili ni kuleta upendo utokao katika moyo safi na dhamiri njema, na imani isiyo na unafiki.


Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu.


Zaidi ya yote iweni na bidii kubwa katika kupendana; kwa sababu upendano husitiri wingi wa dhambi.


na katika utauwa wenu upendano wa ndugu, na katika upendano wa ndugu, upendo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo