Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wakorintho 15:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 na ya kuwa alimtokea Kefa; tena na wale Kumi na Wawili;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 kwamba alimtokea Kefa, na baadaye aliwatokea wale kumi na wawili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 kwamba alimtokea Kefa, na baadaye aliwatokea wale kumi na wawili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 kwamba alimtokea Kefa, na baadaye aliwatokea wale kumi na wawili.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 na kwamba alimtokea Kefa, kisha akawatokea wale kumi na wawili.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 na kwamba alimtokea Kefa, kisha akawatokea wale kumi na wawili.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 15:5
9 Marejeleo ya Msalaba  

Baadaye akaonekana na wale kumi na mmoja walipokuwa wakila, akawakemea kwa kutoamini kwao na ugumu wa mioyo yao, kwa kuwa hawakuwasadiki wale waliomwona alipofufuka katika wafu.


Akampeleka kwa Yesu. Naye Yesu akamtazama, akasema, Wewe u Simoni, mwana wa Yohana; nawe utaitwa Kefa (tafsiri yake Petro, au Jiwe).


si kwa watu wote, bali kwa mashahidi waliokuwa wamekwisha kuchaguliwa na Mungu, ndio sisi, tuliokula na kunywa pamoja naye baada ya kufufuka kwake kutoka kwa wafu.


Basi, maana yangu ni hii, ya kwamba kila mtu wa kwenu kusema, Mimi ni wa Paulo, na, Mimi ni wa Apolo, na, Mimi ni wa Kefa, na, Mimi ni wa Kristo.


kwamba ni Paulo, au Apolo, au Kefa; au dunia, au uzima, au mauti; au vile vilivyopo sasa, au vile vitakavyokuwapo; vyote ni vyenu;


Hatuna uwezo kuchukua pamoja nasi mke aliye ndugu, kama wao mitume wengine, na ndugu wa Bwana, na Kefa?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo