Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 15:46 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

46 Lakini hautangulii ule wa roho, bali ule wa asili; baadaye huja ule wa roho.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

46 Lakini unaotangulia kuwako si ule mwili wa kiroho, ila ule mwili wa kawaida, kisha ule mwili wa kiroho.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

46 Lakini unaotangulia kuwako si ule mwili wa kiroho, ila ule mwili wa kawaida, kisha ule mwili wa kiroho.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

46 Lakini unaotangulia kuwako si ule mwili wa kiroho, ila ule mwili wa kawaida, kisha ule mwili wa kiroho.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

46 Lakini si ule wa kiroho uliotangulia, bali ni ule wa asili, kisha ule wa kiroho.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

46 Lakini si ule wa kiroho uliotangulia, bali ni ule wa asili, kisha ule wa kiroho.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 15:46
6 Marejeleo ya Msalaba  

mkijua neno hili, ya kuwa utu wetu wa kale ulisulubishwa pamoja naye, ili mwili wa dhambi ubatilike, tusitumikie dhambi tena;


Ndivyo ilivyoandikwa, Mtu wa kwanza, Adamu, akawa kiumbe aliye hai; Adamu wa mwisho ni roho yenye kuhuisha.


Mtu wa kwanza atoka katika nchi, ni wa udongo. Mtu wa pili atoka mbinguni.


Basi mwanadamu wa tabia ya asili hayapokei mambo ya Roho wa Mungu; maana kwake huyo ni upuzi, wala hawezi kuyafahamu, kwa kuwa yatambulikana kwa jinsi ya rohoni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo