Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 15:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

38 lakini Mungu huipa mwili kama apendavyo, na kila mbegu mwili wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Mungu huipa hiyo mbegu mwili anaoutaka mwenyewe; kila mbegu hupata mwili wake wa pekee.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Mungu huipa hiyo mbegu mwili anaoutaka mwenyewe; kila mbegu hupata mwili wake wa pekee.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Mungu huipa hiyo mbegu mwili anaoutaka mwenyewe; kila mbegu hupata mwili wake wa pekee.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Lakini Mungu huipa mbegu umbo kama alivyokusudia mwenyewe na kila aina ya mbegu huipa umbo lake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Lakini Mungu huipa mbegu umbo kama alivyokusudia mwenyewe na kila aina ya mbegu huipa umbo lake.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 15:38
7 Marejeleo ya Msalaba  

Huyameesha majani kwa makundi, Na maboga kwa matumizi ya mwanadamu; Ili atoe chakula katika nchi,


Maana kama nchi itoavyo machipuko yake, na kama bustani ioteshavyo vitu vilivyopandwa ndani yake; ndivyo Bwana MUNGU atakavyootesha haki na sifa mbele ya mataifa yote.


nayo uipandayo, huupandi mwili ule utakaokuwa, ila chembe tupu, ikiwa ni ya ngano au nyingineyo;


Nyama zote hazifanani; nyingine ni ya wanadamu, nyingine ya hayawani, nyingine ya ndege, nyingine ya samaki.


Hivyo, apandaye si kitu, wala atiaye maji, bali Mungu akuzaye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo