1 Wakorintho 15:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC38 lakini Mungu huipa mwili kama apendavyo, na kila mbegu mwili wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema38 Mungu huipa hiyo mbegu mwili anaoutaka mwenyewe; kila mbegu hupata mwili wake wa pekee. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND38 Mungu huipa hiyo mbegu mwili anaoutaka mwenyewe; kila mbegu hupata mwili wake wa pekee. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza38 Mungu huipa hiyo mbegu mwili anaoutaka mwenyewe; kila mbegu hupata mwili wake wa pekee. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu38 Lakini Mungu huipa mbegu umbo kama alivyokusudia mwenyewe na kila aina ya mbegu huipa umbo lake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu38 Lakini Mungu huipa mbegu umbo kama alivyokusudia mwenyewe na kila aina ya mbegu huipa umbo lake. Tazama sura |