Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 15:37 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

37 nayo uipandayo, huupandi mwili ule utakaokuwa, ila chembe tupu, ikiwa ni ya ngano au nyingineyo;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

37 Unachopanda ni mbegu tu, labda ya ngano au nafaka nyingine, na si mmea mzima ambao hutokea baadaye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

37 Unachopanda ni mbegu tu, labda ya ngano au nafaka nyingine, na si mmea mzima ambao hutokea baadaye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

37 Unachopanda ni mbegu tu, labda ya ngano au nafaka nyingine, na si mmea mzima ambao hutokea baadaye.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

37 Mpandapo, hampandi mwili ule utakao kuwa, bali mwapanda mbegu tu, pengine ya ngano au ya kitu kingine.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

37 Mpandapo, hampandi mwili ule utakao kuwa, bali mwapanda mbegu tu, pengine ya ngano au ya kitu kingine.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 15:37
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na kipande chochote cha mzoga kikiwa kimeangukia mbegu za kupandwa, zitakazopandwa zitakuwa safi.


akawa akilala na kuondoka, usiku na mchana, nayo mbegu ikamea na kukua, asivyojua yeye.


Ewe mpumbavu! Uipandayo haihuiki, isipokufa;


lakini Mungu huipa mwili kama apendavyo, na kila mbegu mwili wake.


Ila Mungu ashukuriwe, anayetufanya tushangilie ushindi daima katika Kristo, na kuidhihirisha harufu ya kumjua yeye kila mahali kwa kazi yetu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo