Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 15:36 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

36 Ewe mpumbavu! Uipandayo haihuiki, isipokufa;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Hayo ni maswali ya kijinga! Ukipanda mbegu, isipokufa kwanza haitaota.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Hayo ni maswali ya kijinga! Ukipanda mbegu, isipokufa kwanza haitaota.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Hayo ni maswali ya kijinga! Ukipanda mbegu, isipokufa kwanza haitaota.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Ninyi wapumbavu kiasi gani? Mpandacho hakiwi hai kama hakikufa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Ninyi wapumbavu kiasi gani? Mpandacho hakiwi hai kama hakikufa.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 15:36
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ijapokuwa mizizi yake huchakaa mchangani, Na shina lake kufa katika udongo;


Enyi wapumbavu; aliyevifanya vya nje, siye yeye aliyevifanya vya ndani pia?


Lakini Mungu akamwambia, Mpumbavu wewe, usiku huu wa leo wanataka roho yako! Na vitu ulivyojiwekea tayari vitakuwa vya nani?


Akawaambia, Enyi msiofahamu, wenye mioyo mizito ya kuamini yote waliyoyasema manabii!


Amin, amin, nawaambia, Chembe ya ngano isipoanguka katika nchi, ikafa, hukaa hali iyo hiyo peke yake; bali ikifa, hutoa mazao mengi.


Wakijinena kuwa wenye hekima walipumbazika;


nayo uipandayo, huupandi mwili ule utakaokuwa, ila chembe tupu, ikiwa ni ya ngano au nyingineyo;


Basi angalieni sana jinsi mnavyoenda; si kama watu wasio na hekima bali kama watu wenye hekima;


Lakini wataka kujua, wewe mwanadamu usiye kitu, kwamba imani pasipo matendo haizai?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo