Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wakorintho 15:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

30 Na sisi, kwa nini tumo hatarini kila saa?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Na sisi, ya nini kujitia hatarini kila saa?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Na sisi, ya nini kujitia hatarini kila saa?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Na sisi, ya nini kujitia hatarini kila saa?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Nasi kwa upande wetu kwa nini tunajihatarisha kila saa?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Nasi kwa upande wetu kwa nini tunajihatarisha kila saa?

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 15:30
8 Marejeleo ya Msalaba  

Nao walipokuwa wakienda, alilala usingizi. Ikashuka tufani juu ya ziwa, mashua ikaanza kujaa maji, wakawa katika hatari.


Au je! Wenye kubatizwa kwa ajili ya wafu watafanyaje? Kama wafu hawafufuliwi kamwe, kwa nini kubatizwa kwa ajili yao?


Naam, ndugu, kwa huku kujisifu kwangu niliko nako juu yenu katika Kristo Yesu Bwana wetu, ninakufa kila siku.


kama wasiojulikana, bali wajulikanao sana; kama wanaokufa, kumbe tu hai; kama wanaorudiwa, bali wasiouawa;


Nami, ndugu zangu ikiwa ninahubiri habari ya kutahiriwa, kwa nini ningali ninaudhiwa? Kwa kufanya hivyo kikwazo cha msalaba kimeondolewa!


Tufuate:

Matangazo


Matangazo