Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 15:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

29 Au je! Wenye kubatizwa kwa ajili ya wafu watafanyaje? Kama wafu hawafufuliwi kamwe, kwa nini kubatizwa kwa ajili yao?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Kama hakuna ufufuo, je watu wale wanaobatizwa kwa ajili ya wafu wanatumainia kupata nini? Kama wafu hawafufuliwi, ya nini kubatizwa kwa ajili yao?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Kama hakuna ufufuo, je watu wale wanaobatizwa kwa ajili ya wafu wanatumainia kupata nini? Kama wafu hawafufuliwi, ya nini kubatizwa kwa ajili yao?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Kama hakuna ufufuo, je watu wale wanaobatizwa kwa ajili ya wafu wanatumainia kupata nini? Kama wafu hawafufuliwi, ya nini kubatizwa kwa ajili yao?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Basi kama hakuna ufufuo, watafanyaje wale wabatizwao kwa ajili ya wafu? Kama wafu hawafufuliwi kamwe, mbona watu wanabatizwa kwa ajili yao?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Basi kama hakuna ufufuo, watafanyaje wale wabatizwao kwa ajili ya wafu? Kama wafu hawafufuliwi kamwe, mbona watu wanabatizwa kwa ajili yao?

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 15:29
7 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akajibu akasema, Hamjui mnaloliomba. Je! Mwaweza kunywea kikombe nitakachonywea mimi? Wakamwambia, Twaweza.


naye akawabatiza katika mto wa Yordani, huku wakiziungama dhambi zao.


Maana kama wafu hawafufuliwi, Kristo naye hakufufuka.


Basi, vitu vyote vikiisha kutiishwa chini yake, ndipo Mwana mwenyewe naye atatiishwa chini yake yeye aliyemtiishia vitu vyote, ili kwamba Mungu awe yote katika wote.


Na sisi, kwa nini tumo hatarini kila saa?


Ikiwa, kwa jinsi ya kibinadamu, nilipigana na hayawani wakali kule Efeso, nina faida gani? Wasipofufuliwa wafu, na tule, na tunywe, maana kesho tutakufa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo