Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 15:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Na hapo wao nao waliolala katika Kristo wamepotea.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Zaidi ya hayo, wale wote waliokufa wakiwa wameungana na Kristo wamepotea kabisa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Zaidi ya hayo, wale wote waliokufa wakiwa wameungana na Kristo wamepotea kabisa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Zaidi ya hayo, wale wote waliokufa wakiwa wameungana na Kristo wamepotea kabisa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Hivyo basi, wote waliolala katika Al-Masihi wamepotea.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Hivyo basi, wote waliolala katika Al-Masihi wamepotea.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 15:18
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akapiga magoti, akalia kwa sauti kuu, Bwana, usiwahesabie dhambi hii. Akiisha kusema haya akalala. Na Sauli alikuwa akiona kitendo cha kuuawa kwake kuwa sawa.


baadaye aliwatokea ndugu zaidi ya mia tano pamoja; katika hao wengi wanaishi hata sasa, ila baadhi yao wamelala;


Kwa kuwa tunawaambieni haya kwa neno la Bwana, kwamba sisi tulio hai, tutakaosalia hata wakati wa kuja kwake Bwana, hakika hatutawatangulia wao waliokwisha kulala mauti.


Kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni pamoja na mwaliko, na sauti ya malaika mkuu, na parapanda ya Mungu; nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza.


Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo