Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 15:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Maana kama wafu hawafufuliwi, Kristo naye hakufufuka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Maana, ikiwa ni kweli kwamba wafu hawafufuki, basi naye Kristo hakufufuka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Maana, ikiwa ni kweli kwamba wafu hawafufuki, basi naye Kristo hakufufuka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Maana, ikiwa ni kweli kwamba wafu hawafufuki, basi naye Kristo hakufufuka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Kwa kuwa kama wafu hawafufuliwi, basi hata Al-Masihi hajafufuka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Kwa kuwa kama wafu hawafufuliwi, basi hata Al-Masihi hajafufuka.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 15:16
5 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini, ikiwa Roho yake yeye aliyemfufua Yesu katika wafu anakaa ndani yenu, yeye aliyemfufua Kristo Yesu katika wafu ataihuisha na miili yenu iliyo katika hali ya kufa, kwa Roho wake anayekaa ndani yenu.


Naam, na sisi tumeonekana kuwa mashahidi wa uongo wa Mungu; kwa maana tulimshuhudia Mungu ya kuwa alimfufua Kristo, ambaye hakumfufua, ikiwa wafu hawafufuliwi.


Na kama Kristo hakufufuka, imani yenu ni bure; mngalimo katika dhambi zenu.


Au je! Wenye kubatizwa kwa ajili ya wafu watafanyaje? Kama wafu hawafufuliwi kamwe, kwa nini kubatizwa kwa ajili yao?


na ya kuwa alizikwa; na ya kuwa alifufuka siku ya tatu, kama yanenavyo Maandiko;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo