1 Wakorintho 15:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 tena kama Kristo hakufufuka, basi, kuhubiri kwetu ni bure na imani yenu ni bure. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 na kama Kristo hakufufuka, basi mahubiri yetu hayana maana na imani yenu haina maana. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 na kama Kristo hakufufuka, basi mahubiri yetu hayana maana na imani yenu haina maana. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 na kama Kristo hakufufuka, basi mahubiri yetu hayana maana na imani yenu haina maana. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Tena ikiwa Al-Masihi hakufufuliwa kutoka kwa wafu, kuhubiri kwetu kumekuwa ni bure na imani yenu ni batili. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Tena ikiwa Al-Masihi hakufufuliwa kutoka kwa wafu, kuhubiri kwetu kumekuwa ni bure na imani yenu ni batili. Tazama sura |