Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wakorintho 15:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 tena kama Kristo hakufufuka, basi, kuhubiri kwetu ni bure na imani yenu ni bure.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 na kama Kristo hakufufuka, basi mahubiri yetu hayana maana na imani yenu haina maana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 na kama Kristo hakufufuka, basi mahubiri yetu hayana maana na imani yenu haina maana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 na kama Kristo hakufufuka, basi mahubiri yetu hayana maana na imani yenu haina maana.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Tena ikiwa Al-Masihi hakufufuliwa kutoka kwa wafu, kuhubiri kwetu kumekuwa ni bure na imani yenu ni batili.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Tena ikiwa Al-Masihi hakufufuliwa kutoka kwa wafu, kuhubiri kwetu kumekuwa ni bure na imani yenu ni batili.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 15:14
12 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha akatoa njiwa, aone kwamba maji yamepunguka usoni pa nchi;


Hakika nimejisafisha moyo wangu bure, Na kunawa mikono yangu nisitende dhambi.


Lakini nikasema, Nimejitaabisha bure, nimetumia nguvu zangu bure bila faida; lakini hakika hukumu yangu ina BWANA, na thawabu yangu ina Mungu wangu.


Nao waniabudu bure, Wakifundisha mafundisho Yaliyo maagizo ya wanadamu.


Kwa maana ameweka siku atakayowahukumu walimwengu kwa haki, kwa mtu yule aliyemchagua; naye amewapa watu wote uthabiti wa mambo haya kwa kumfufua katika wafu.


Lakini kama hakuna kiyama ya wafu, Kristo naye hakufufuka;


Na kama Kristo hakufufuka, imani yenu ni bure; mngalimo katika dhambi zenu.


na kwa hiyo mnaokolewa; ikiwa mnayashika sana maneno niliyowahubiria isipokuwa mliamini bure.


Nami nilikwenda kwa kuwa nilifunuliwa, nikawaeleza Injili ile niihubiriyo katika Mataifa, lakini kwa faragha kwa hao viongozi waliosifika, isiwe labda napiga mbio bure, au nilipiga mbio bure.


Maana, ikiwa tunaamini ya kwamba Yesu alikufa akafufuka, vivyo hivyo na hao waliolala katika Yesu, Mungu atawaleta pamoja naye.


Mtu akidhani ya kuwa anayo dini, wala hauzuii ulimi wake kwa hatamu, ili hali akijidanganya moyo wake, dini yake mtu huyo haifai.


Lakini wataka kujua, wewe mwanadamu usiye kitu, kwamba imani pasipo matendo haizai?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo