Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 15:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Lakini kama hakuna kiyama ya wafu, Kristo naye hakufufuka;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Kama hakuna ufufuo wa wafu, basi, Kristo naye hakufufuka;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Kama hakuna ufufuo wa wafu, basi, Kristo naye hakufufuka;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Kama hakuna ufufuo wa wafu, basi, Kristo naye hakufufuka;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Lakini kama hakuna ufufuo wa wafu, basi hata Al-Masihi hakufufuliwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Lakini kama hakuna ufufuo wa wafu, basi hata Al-Masihi hakufufuliwa.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 15:13
16 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana Masadukayo husema ya kwamba hakuna kiyama wala malaika wala roho; bali Mafarisayo hukiri yote.


Lakini, ikiwa Roho yake yeye aliyemfufua Yesu katika wafu anakaa ndani yenu, yeye aliyemfufua Kristo Yesu katika wafu ataihuisha na miili yenu iliyo katika hali ya kufa, kwa Roho wake anayekaa ndani yenu.


Wala si hivyo tu; ila na sisi wenyewe tulio na malimbuko ya Roho, sisi pia tunaugua katika nafsi zetu, tukikutazamia kufanywa wana, yaani, ukombozi wa mwili wetu.


Basi, ikiwa Kristo anahubiriwa ya kwamba amefufuka katika wafu, mbona baadhi yenu husema kwamba hakuna kiyama ya wafu?


tena kama Kristo hakufufuka, basi, kuhubiri kwetu ni bure na imani yenu ni bure.


Lakini sasa Kristo amefufuka katika wafu, limbuko lao waliolala.


Maana, ikiwa tunaamini ya kwamba Yesu alikufa akafufuka, vivyo hivyo na hao waliolala katika Yesu, Mungu atawaleta pamoja naye.


baada ya hayo nimewekewa taji la haki, ambayo Bwana, mhukumu mwenye haki, atanipa siku ile; wala si mimi tu, bali na watu wote pia waliopenda kufunuliwa kwake.


Basi, Mungu wa amani aliyemleta tena kutoka kwa wafu Mchungaji Mkuu wa kondoo, kwa damu ya agano la milele, yeye Bwana wetu Yesu,


Basi, kwa kuwa watoto wameshiriki damu na mwili, yeye naye vivyo hivyo alishiriki yayo hayo, ili kwa njia ya mauti amharibu yeye aliyekuwa na nguvu za mauti, yaani, Ibilisi,


Ahimidiwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kwa rehema zake nyingi alituzaa mara ya pili ili tupate tumaini lenye uzima kwa kufufuka kwake Yesu Kristo katika wafu;


na aliye hai; nami nilikuwa nimekufa, na tazama, ni hai hata milele na milele. Nami ninazo funguo za mauti, na za kuzimu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo