Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wakorintho 15:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Basi, ikiwa Kristo anahubiriwa ya kwamba amefufuka katika wafu, mbona baadhi yenu husema kwamba hakuna kiyama ya wafu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Sasa, maadamu inahubiriwa kwamba Kristo amefufuliwa kutoka kwa wafu, baadhi yenu wanawezaje kusema kwamba hakuna ufufuo wa wafu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Sasa, maadamu inahubiriwa kwamba Kristo amefufuliwa kutoka kwa wafu, baadhi yenu wanawezaje kusema kwamba hakuna ufufuo wa wafu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Sasa, maadamu inahubiriwa kwamba Kristo amefufuliwa kutoka kwa wafu, baadhi yenu wanawezaje kusema kwamba hakuna ufufuo wa wafu?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Basi kama tumehubiri kwamba Al-Masihi alifufuliwa kutoka kwa wafu, mbona baadhi yenu mnasema hakuna ufufuo wa wafu?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Basi kama tumehubiri ya kwamba Al-Masihi alifufuliwa kutoka kwa wafu, mbona baadhi yenu mnasema hakuna ufufuo wa wafu?

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 15:12
7 Marejeleo ya Msalaba  

Basi waliposikia habari za ufufuo wa wafu wengine walifanya dhihaka; wengine wakasema, Tutakusikiliza tena kuhusu habari hiyo.


Kwa maana Masadukayo husema ya kwamba hakuna kiyama wala malaika wala roho; bali Mafarisayo hukiri yote.


Kwa nini limedhaniwa kwenu kuwa ni neno lisiloaminika, kwamba Mungu awafufua wafu?


Basi kama ni mimi, au kama ni wao, ndivyo tuhubirivyo na ndivyo mlivyoamini.


awafariji mioyo yenu, na kuwafanya imara katika kila neno na tendo jema.


waliopotoka kutoka kwenye kweli, wakisema ya kwamba kiyama imekwisha tokea, hata kuipindua imani ya watu kadhaa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo