1 Wakorintho 15:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Basi kama ni mimi, au kama ni wao, ndivyo tuhubirivyo na ndivyo mlivyoamini. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Lakini hata hivyo, iwe wao ndio wahubirio au mimi nihubiriye, haidhuru, hiki ndicho tunachohubiri, na hiki ndicho mnachoamini. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Lakini hata hivyo, iwe wao ndio wahubirio au mimi nihubiriye, haidhuru, hiki ndicho tunachohubiri, na hiki ndicho mnachoamini. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Lakini hata hivyo, iwe wao ndio wahubirio au mimi nihubiriye, haidhuru, hiki ndicho tunachohubiri, na hiki ndicho mnachoamini. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Hivyo basi, kama ilikuwa mimi au wao, hili ndilo tunalohubiri, na hili ndilo mliloamini. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Hivyo basi, kama ilikuwa mimi au wao, hili ndilo tunalohubiri, na hili ndilo mliloamini. Tazama sura |