Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 15:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Basi kama ni mimi, au kama ni wao, ndivyo tuhubirivyo na ndivyo mlivyoamini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Lakini hata hivyo, iwe wao ndio wahubirio au mimi nihubiriye, haidhuru, hiki ndicho tunachohubiri, na hiki ndicho mnachoamini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Lakini hata hivyo, iwe wao ndio wahubirio au mimi nihubiriye, haidhuru, hiki ndicho tunachohubiri, na hiki ndicho mnachoamini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Lakini hata hivyo, iwe wao ndio wahubirio au mimi nihubiriye, haidhuru, hiki ndicho tunachohubiri, na hiki ndicho mnachoamini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Hivyo basi, kama ilikuwa mimi au wao, hili ndilo tunalohubiri, na hili ndilo mliloamini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Hivyo basi, kama ilikuwa mimi au wao, hili ndilo tunalohubiri, na hili ndilo mliloamini.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 15:11
4 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini kwa neema ya Mungu nimekuwa hivi nilivyo; na neema yake iliyo kwangu ilikuwa si bure, bali nilizidi sana kufanya kazi kupita wao wote; wala si mimi, bali ni neema ya Mungu pamoja nami.


Basi, ikiwa Kristo anahubiriwa ya kwamba amefufuka katika wafu, mbona baadhi yenu husema kwamba hakuna kiyama ya wafu?


Maana niliazimu nisijue neno lolote kwenu ila Yesu Kristo, na yeye aliyesulubiwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo