Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 14:40 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

40 Lakini mambo yote na yatendeke kwa uzuri na kwa utaratibu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

40 Lakini yote yafanyike kwa heshima na kwa utaratibu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

40 Lakini yote yafanyike kwa heshima na kwa utaratibu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

40 Lakini yote yafanyike kwa heshima na kwa utaratibu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

40 Lakini kila kitu kitendeke kwa ufasaha na kwa utaratibu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

40 Lakini kila kitu kitendeke kwa heshima na kwa utaratibu.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 14:40
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha BWANA akanena na Musa, na kumwambia, Watasongeza matoleo yao, kila mkuu kwa siku yake, kwa ajili ya kuiweka wakfu madhabahu.


Kama ilivyohusika na mchana na tuenende kwa adabu; si kwa ulafi na ulevi, si kwa ufisadi na uasherati, si kwa ugomvi na wivu.


mtu akiwa na njaa, na ale nyumbani kwake; msipate kukutanika kwa hukumu. Na hayo yaliyosalia nikija nitayatengeneza.


Maana nijapokuwa sipo kwa mwili, lakini nipo pamoja nanyi kwa roho, nikifurahi na kuuona utaratibu wenu na uthabiti wa imani yenu katika Kristo.


Kwa sababu hii nilikuacha Krete, ili uyatengeneze yaliyopunguka, na kuwateua wazee katika kila mji kama vile nilivyokuamuru;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo