1 Wakorintho 14:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC4 Yeye anenaye kwa lugha hujijenga nafsi yake; bali atoaye unabii hulijenga kanisa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Mwenye kunena lugha ngeni anajijenga mwenyewe. Lakini mwenye kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, analijenga kanisa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Mwenye kunena lugha ngeni anajijenga mwenyewe. Lakini mwenye kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, analijenga kanisa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Mwenye kunena lugha ngeni anajijenga mwenyewe. Lakini mwenye kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, analijenga kanisa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Anenaye kwa lugha hujijenga mwenyewe, bali atoaye unabii huwajenga waumini. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Anenaye kwa lugha hujijenga mwenyewe, bali atoaye unabii hulijenga kundi la waumini. Tazama sura |