Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 14:39 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

39 Kwa ajili ya hayo, ndugu, jitahidini sana kutoa unabii, wala msizuie kunena kwa lugha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

39 Hivyo basi, ndugu zangu, mnapaswa kuwa na hamu ya kutangaza ujumbe wa Mungu; lakini msimkataze mtu kusema kwa lugha ngeni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

39 Hivyo basi, ndugu zangu, mnapaswa kuwa na hamu ya kutangaza ujumbe wa Mungu; lakini msimkataze mtu kusema kwa lugha ngeni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

39 Hivyo basi, ndugu zangu, mnapaswa kuwa na hamu ya kutangaza ujumbe wa Mungu; lakini msimkataze mtu kusema kwa lugha ngeni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

39 Kwa hiyo ndugu zangu, takeni sana kutoa unabii na msikataze watu kusema kwa lugha.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

39 Kwa hiyo ndugu zangu, takeni sana kutoa unabii na msikataze watu kusema kwa lugha.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 14:39
8 Marejeleo ya Msalaba  

Jitahidini sana kupata karama zilizo kuu. Na nitawaonesheni njia iliyo bora zaidi.


Tena nijapokuwa na unabii, na kujua siri zote na maarifa yote, nijapokuwa na imani timilifu kiasi cha kuweza kuhamisha milima, kama sina upendo, mimi si kitu.


Ufuatilieni upendo, na kutaka sana karama za rohoni, lakini zaidi kwamba mpate kutoa unabii.


Bali yeye ahutubuye, asema na watu maneno ya kuwajenga, na kuwafariji, na kuwatia moyo.


Lakini mtu akiwa mjinga, na awe mjinga.


Nami nataka ninyi nyote mnene kwa lugha, lakini zaidi sana mpate kutoa unabii, maana yeye atoaye unabii ni mkuu kuliko yeye anenaye kwa lugha, isipokuwa afasiri, ili kusudi kanisa lipate kujengwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo