Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 14:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

38 Lakini mtu akiwa mjinga, na awe mjinga.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Lakini mtu asiyetambua hayo, basi, mtu asimjali mtu huyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Lakini mtu asiyetambua hayo, basi, mtu asimjali mtu huyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Lakini mtu asiyetambua hayo, basi, mtu asimjali mtu huyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Kama mtu akipuuza jambo hili yeye mwenyewe atapuuzwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Kama mtu akipuuza jambo hili yeye mwenyewe atapuuzwa.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 14:38
8 Marejeleo ya Msalaba  

Efraimu amejiungamanisha na sanamu; mwache.


Waacheni; hao ni viongozi vipofu wa vipofu. Na kipofu akimwongoza kipofu mwenzake, watatumbukia shimoni wote wawili.


Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.


Mtu akijiona kuwa ni nabii au mtu wa rohoni, na ayatambue hayo ninayowaandikia, ya kwamba ni maagizo ya Bwana.


Kwa ajili ya hayo, ndugu, jitahidini sana kutoa unabii, wala msizuie kunena kwa lugha.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo