1 Wakorintho 14:36 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC36 Au je! Neno la Mungu lilitoka kwenu? Au kuwafikia ninyi peke yenu? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema36 Je, mnadhani neno la Mungu limetoka kwenu nyinyi au kwamba limewajieni nyinyi peke yenu? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND36 Je, mnadhani neno la Mungu limetoka kwenu nyinyi au kwamba limewajieni nyinyi peke yenu? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza36 Je, mnadhani neno la Mungu limetoka kwenu nyinyi au kwamba limewajieni nyinyi peke yenu? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu36 Je, neno la Mungu lilianzia kwenu? Au ni ninyi tu ambao neno la Mungu limewafikia? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu36 Je, neno la Mwenyezi Mungu lilianzia kwenu? Au ni ninyi tu ambao neno la Mungu limewafikia? Tazama sura |