Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 14:36 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

36 Au je! Neno la Mungu lilitoka kwenu? Au kuwafikia ninyi peke yenu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Je, mnadhani neno la Mungu limetoka kwenu nyinyi au kwamba limewajieni nyinyi peke yenu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Je, mnadhani neno la Mungu limetoka kwenu nyinyi au kwamba limewajieni nyinyi peke yenu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Je, mnadhani neno la Mungu limetoka kwenu nyinyi au kwamba limewajieni nyinyi peke yenu?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Je, neno la Mungu lilianzia kwenu? Au ni ninyi tu ambao neno la Mungu limewafikia?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Je, neno la Mwenyezi Mungu lilianzia kwenu? Au ni ninyi tu ambao neno la Mungu limewafikia?

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 14:36
15 Marejeleo ya Msalaba  

Na mataifa mengi watakwenda na kusema, Njoni, twende juu mlimani kwa BWANA, nyumbani kwa Mungu wa Yakobo, naye atatufundisha njia zake, nasi tutakwenda katika mapito yake maana katika Sayuni itatoka sheria, na neno la BWANA katika Yerusalemu.


Tena itakuwa siku hiyo, ya kwamba maji yaliyo hai yatatoka katika Yerusalemu; nusu yake itakwenda upande wa bahari ya mashariki, na nusu yake upande wa bahari ya magharibi; wakati wa joto na wakati wa baridi itakuwa hivi.


Wakiisha kupita kati ya Amfipoli na Apolonia wakafika Thesalonike, ambapo palikuwa na sinagogi la Wayahudi.


Lakini wale waliomsindikiza Paulo wakampeleka mpaka Athene; nao wakiisha kupokea maagizo kuwapelekea Sila na Timotheo, ya kwamba wasikawie kumfuata, wakaenda zao.


Nao wakitaka kujifunza neno lolote, na wawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa.


Mtu akijiona kuwa ni nabii au mtu wa rohoni, na ayatambue hayo ninayowaandikia, ya kwamba ni maagizo ya Bwana.


Maana ni nani anayekupambanua na mwingine? Nawe una nini usichokipokea? Lakini iwapo ulipokea, wajisifia nini kana kwamba hukupokea?


Maana kutoka kwenu neno la Mungu limevuma, si katika Makedonia na Akaya tu, ila na kila mahali imani yenu mliyo nayo kwa Mungu imeenea; hata hatuna haja sisi kunena lolote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo