Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 14:35 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

35 Nao wakitaka kujifunza neno lolote, na wawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 Ikiwa wanayo maswali ya kuuliza, wawaulize waume zao nyumbani, maana ni aibu kwa mwanamke kusema katika mikutano ya waumini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Ikiwa wanayo maswali ya kuuliza, wawaulize waume zao nyumbani, maana ni aibu kwa mwanamke kusema katika mikutano ya waumini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Ikiwa wanayo maswali ya kuuliza, wawaulize waume zao nyumbani, maana ni aibu kwa mwanamke kusema katika mikutano ya waumini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 Wakitaka kuuliza kuhusu jambo lolote, wawaulize waume zao nyumbani. Kwa maana ni aibu kwa mwanamke kuzungumza katika kundi la waumini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 Kama wakitaka kuuliza kuhusu jambo lolote, wawaulize waume zao nyumbani. Kwa maana ni aibu kwa mwanamke kuzungumza kanisani.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 14:35
7 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Hayo maumbile yenyewe hayawafundishi ya kwamba mwanamume akiwa na nywele ndefu ni aibu kwake?


Maana mwanamke asipojifunika kichwa, na akatwe nywele. Au ikiwa ni aibu mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa, na afunike kichwa.


Wanawake na wanyamaze katika kanisa, maana hawana ruhusa kunena bali watii, kama vile inenavyo torati nayo.


Au je! Neno la Mungu lilitoka kwenu? Au kuwafikia ninyi peke yenu?


kwa kuwa yanayotendeka kwao kwa siri, ni aibu hata kuyanena.


Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili; na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu; maana wao pia ni warithi wa neema ya uzima, ili maombi yenu yasizuiliwe na chochote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo