Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 14:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

30 Lakini mwingine aliyeketi akifunuliwa neno, yule wa kwanza na anyamaze.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Ikiwa mmoja anaposema na mwingine wa wasikilizaji amepata ufunuo kutoka kwa Mungu, basi, yule anayesema anyamaze.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Ikiwa mmoja anaposema na mwingine wa wasikilizaji amepata ufunuo kutoka kwa Mungu, basi, yule anayesema anyamaze.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Ikiwa mmoja anaposema na mwingine wa wasikilizaji amepata ufunuo kutoka kwa Mungu, basi, yule anayesema anyamaze.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Kama mtu yeyote aliyeketi karibu, akipata ufunuo, basi yule wa kwanza na anyamaze.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Kama mtu yeyote aliyeketi karibu, akipata ufunuo, basi yule wa kwanza na anyamaze.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 14:30
8 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama, niliyangojea maneno yenu, Nilizisikiliza nisikie hoja zenu, Hapo mlipokitafuta mtakalonena.


Basi, ndugu, imekuwaje? Mkutanapo pamoja, kila mmoja ana zaburi, ana fundisho, ana ufunuo, ana lugha, ana tafsiri. Mambo yote na yatendeke kwa kusudi la kujenga.


Na manabii wanene wawili, au watatu, na wengine wapambanue.


Kwa maana ninyi nyote mwaweza kutoa unabii mmoja mmoja, ili wote wapate kujifunza, na wote wafarijiwe.


Ila sasa, ndugu, nikija kwenu na kunena kwa lugha, nitawafaidia nini, isipokuwa nasema nanyi kwa njia ya ufunuo, au kwa njia ya elimu, au kwa njia ya hotuba, au kwa njia ya fundisho?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo