1 Wakorintho 14:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC3 Bali yeye ahutubuye, asema na watu maneno ya kuwajenga, na kuwafariji, na kuwatia moyo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Lakini mwenye kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, husema na watu kwa ajili ya kuwajenga, kuwafariji na kuwatia moyo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Lakini mwenye kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, husema na watu kwa ajili ya kuwajenga, kuwafariji na kuwatia moyo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Lakini mwenye kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, husema na watu kwa ajili ya kuwajenga, kuwafariji na kuwatia moyo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Lakini anayetoa unabii anasema na watu akiwajenga, kuwatia moyo na kuwafariji. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Lakini anayetoa unabii anasema na watu akiwajenga, kuwatia moyo na kuwafariji. Tazama sura |