Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 14:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

29 Na manabii wanene wawili, au watatu, na wengine wapambanue.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Kuhusu wale wenye kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, waseme wawili au watatu, na wengine wayapime maneno yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Kuhusu wale wenye kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, waseme wawili au watatu, na wengine wayapime maneno yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Kuhusu wale wenye kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, waseme wawili au watatu, na wengine wayapime maneno yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Manabii wawili au watatu wanene, na wengine wapime kwa makini yale yasemwayo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Manabii wawili au watatu wanene na wengine wapime yale yasemwayo.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 14:29
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na huko Antiokia katika kanisa lililokuwako palikuwa na manabii na waalimu, nao ni Barnaba, na Simeoni aitwaye Nigeri, na Lukio Mkirene, na Manaeni aliyekuwa ndugu wa kulelewa wa mfalme Herode, na Sauli.


na mwingine matendo ya miujiza; na mwingine unabii; na mwingine kupambanua roho; mwingine aina za lugha; na mwingine fasiri za lugha;


Tena nijapokuwa na unabii, na kujua siri zote na maarifa yote, nijapokuwa na imani timilifu kiasi cha kuweza kuhamisha milima, kama sina upendo, mimi si kitu.


Lakini asipokuwapo mwenye kufasiri na anyamaze katika kanisa; aseme na nafsi yake tena na Mungu.


Lakini mwingine aliyeketi akifunuliwa neno, yule wa kwanza na anyamaze.


Na roho za manabii huwatii manabii.


Mtu akijiona kuwa ni nabii au mtu wa rohoni, na ayatambue hayo ninayowaandikia, ya kwamba ni maagizo ya Bwana.


Kwa ajili ya hayo, ndugu, jitahidini sana kutoa unabii, wala msizuie kunena kwa lugha.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo