Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 14:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

28 Lakini asipokuwapo mwenye kufasiri na anyamaze katika kanisa; aseme na nafsi yake tena na Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Lakini kama hakuna awezaye kufafanua, basi, mwenye kusema lugha ngeni anyamaze mkutanoni, aseme na nafsi yake mwenyewe na Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Lakini kama hakuna awezaye kufafanua, basi, mwenye kusema lugha ngeni anyamaze mkutanoni, aseme na nafsi yake mwenyewe na Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Lakini kama hakuna awezaye kufafanua, basi, mwenye kusema lugha ngeni anyamaze mkutanoni, aseme na nafsi yake mwenyewe na Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Lakini kama hakuna mtu wa kutafsiri, hao watu na wanyamaze kimya katika kundi la waumini, na wanene na nafsi zao wenyewe na Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Lakini kama hakuna mtu wa kutafsiri, hao watu na wanyamaze kimya kanisani na wanene na nafsi zao wenyewe na Mungu.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 14:28
3 Marejeleo ya Msalaba  

Kama mtu akinena kwa lugha, wanene wawili au watatu, si zaidi, tena zamu kwa zamu, na mmoja na afasiri.


Na manabii wanene wawili, au watatu, na wengine wapambanue.


jaribuni mambo yote; lishikeni lililo jema;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo