Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 14:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

19 lakini katika kanisa napenda kunena maneno matano kwa akili zangu, nipate kuwafundisha wengine, kuliko kunena maneno elfu kumi kwa lugha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Lakini katika mikutano ya waumini napendelea zaidi kusema maneno matano yenye kueleweka ili niwafundishe wengine, kuliko kusema maneno elfu ya lugha ngeni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Lakini katika mikutano ya waumini napendelea zaidi kusema maneno matano yenye kueleweka ili niwafundishe wengine, kuliko kusema maneno elfu ya lugha ngeni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Lakini katika mikutano ya waumini napendelea zaidi kusema maneno matano yenye kueleweka ili niwafundishe wengine, kuliko kusema maneno elfu ya lugha ngeni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Lakini katika kundi la waumini ni afadhali niseme maneno matano ya kueleweka ili niwafundishe wengine kuliko kusema maneno elfu kumi kwa lugha.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Lakini ndani ya kanisa ni afadhali niseme maneno matano ya kueleweka ili niwafundishe wengine kuliko kusema maneno 10,000 kwa lugha.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 14:19
5 Marejeleo ya Msalaba  

upate kujua hakika ya mambo yale uliyofundishwa.


Namshukuru Mungu ya kuwa nanena kwa lugha zaidi ya ninyi nyote;


Ndugu zangu, msiwe watoto katika akili zenu; lakini katika uovu mgeuzwe watoto wachanga, bali katika akili zenu muwe watu wazima.


Yeye anenaye kwa lugha hujijenga nafsi yake; bali atoaye unabii hulijenga kanisa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo