Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 14:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Namshukuru Mungu ya kuwa nanena kwa lugha zaidi ya ninyi nyote;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Namshukuru Mungu kwamba mimi nasema kwa lugha ngeni kuliko nyinyi nyote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Namshukuru Mungu kwamba mimi nasema kwa lugha ngeni kuliko nyinyi nyote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Namshukuru Mungu kwamba mimi nasema kwa lugha ngeni kuliko nyinyi nyote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Namshukuru Mungu kwamba mimi nanena kwa lugha kuliko ninyi nyote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Namshukuru Mungu kwamba mimi nanena kwa lugha kuliko ninyi nyote.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 14:18
7 Marejeleo ya Msalaba  

Maana ni kweli, wewe washukuru vema, bali yule mwingine hajengwi.


lakini katika kanisa napenda kunena maneno matano kwa akili zangu, nipate kuwafundisha wengine, kuliko kunena maneno elfu kumi kwa lugha.


Maana yeye anenaye kwa lugha, hasemi na watu, bali husema na Mungu; maana hakuna asikiaye; lakini anena mambo ya siri katika roho yake.


Yeye anenaye kwa lugha hujijenga nafsi yake; bali atoaye unabii hulijenga kanisa.


Nami nataka ninyi nyote mnene kwa lugha, lakini zaidi sana mpate kutoa unabii, maana yeye atoaye unabii ni mkuu kuliko yeye anenaye kwa lugha, isipokuwa afasiri, ili kusudi kanisa lipate kujengwa.


Maana ni nani anayekupambanua na mwingine? Nawe una nini usichokipokea? Lakini iwapo ulipokea, wajisifia nini kana kwamba hukupokea?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo