1 Wakorintho 14:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 Kwa sababu hiyo yeye anenaye kwa lugha na aombe apewe kufasiri. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Kwa hiyo, mwenye kunena lugha ngeni na aombe apate uwezo wa kuzifafanua. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Kwa hiyo, mwenye kunena lugha ngeni na aombe apate uwezo wa kuzifafanua. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Kwa hiyo, mwenye kunena lugha ngeni na aombe apate uwezo wa kuzifafanua. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Kwa sababu hii, yeye anenaye kwa lugha na aombe kwamba apate kutafsiri kile anachonena. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Kwa sababu hii, yeye anenaye kwa lugha na aombe kwamba apate kutafsiri kile anachonena. Tazama sura |