Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 14:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Kwa sababu hiyo yeye anenaye kwa lugha na aombe apewe kufasiri.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Kwa hiyo, mwenye kunena lugha ngeni na aombe apate uwezo wa kuzifafanua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Kwa hiyo, mwenye kunena lugha ngeni na aombe apate uwezo wa kuzifafanua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Kwa hiyo, mwenye kunena lugha ngeni na aombe apate uwezo wa kuzifafanua.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Kwa sababu hii, yeye anenaye kwa lugha na aombe kwamba apate kutafsiri kile anachonena.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Kwa sababu hii, yeye anenaye kwa lugha na aombe kwamba apate kutafsiri kile anachonena.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 14:13
11 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa sababu hiyo nawaambia, Yoyote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba mnayapokea, nayo yatakuwa yenu.


Hawa wote walikuwa wakidumu kwa moyo mmoja katika kusali, pamoja nao wanawake, na Mariamu mama yake Yesu, na ndugu zake.


ambao waliposhuka, wakawaombea wampokee Roho Mtakatifu;


na mwingine matendo ya miujiza; na mwingine unabii; na mwingine kupambanua roho; mwingine aina za lugha; na mwingine fasiri za lugha;


Wote wana karama za kuponya wagonjwa? Wote wanena kwa lugha? Wote wafasiri?


Vivyo hivyo na ninyi, kwa kuwa mnatamani sana kuwa watu wenye karama za roho, jitahidini kusudi mzidi sana kuwa nazo ili kulijenga kanisa.


Maana nikiomba kwa lugha, roho yangu huomba, lakini akili zangu hazina matunda.


Basi, ndugu, imekuwaje? Mkutanapo pamoja, kila mmoja ana zaburi, ana fundisho, ana ufunuo, ana lugha, ana tafsiri. Mambo yote na yatendeke kwa kusudi la kujenga.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo