Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wakorintho 12:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Lakini sasa viungo ni vingi, ila mwili ni mmoja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Ukweli ni kwamba, sehemu za mwili ni nyingi, lakini mwili ni mmoja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Ukweli ni kwamba, sehemu za mwili ni nyingi, lakini mwili ni mmoja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Ukweli ni kwamba, sehemu za mwili ni nyingi, lakini mwili ni mmoja.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Kama ulivyo, una viungo vingi, lakini mwili ni mmoja.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Kama ulivyo, una viungo vingi, lakini mwili ni mmoja.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 12:20
5 Marejeleo ya Msalaba  

Vivyo hivyo na sisi tulio wengi tu mwili mmoja katika Kristo, na viungo, kila mmoja kwa mwenzake.


Maana kama vile mwili ni mmoja, nao una viungo vingi, na viungo vyote vya mwili ule, navyo ni vingi, ni mwili mmoja; vivyo hivyo na Kristo.


Kwa maana mwili si kiungo kimoja, bali ni vingi.


Lakini kama vyote vingekuwa kiungo kimoja, mwili ungekuwa wapi?


Na jicho haliwezi kuuambia mkono, Sina haja na wewe; wala tena kichwa hakiwezi kuiambia miguu, Sina haja na ninyi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo